Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran
Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran Muhammad Javad Zarif amesema Waislamu wanapaswa kuungana ili kuonyesha nchi za Magharibi kuwa wanaweza kupambana na ugaidi na misimamo mikali ya kidini.
Habari ID: 3470408 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/22
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemuandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban-Ki moon ambapo mbali na kulaani vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu ameambatanisha barua ya hivi karibuni ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa vijana wa Ulaya na Amerika ya Kaskazini.
Habari ID: 2822425 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/08
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Marekani imeshindwa katika ndoto yake ya kubadilisha mfumo wa dunia.
Habari ID: 1411335 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/05/26