Muqawama
IQNA - Mufti Mkuu wa Oman amempongeza Sheikh Naim Qassem kwa kuteuliwa kuwa katibu mkuu mpya wa harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon.
Habari ID: 3479702 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/05
Kusambaratika Israel
TEHRAN (IQNA) – Akiashiria sehemu ya aya ya 2 ya Sura Al Hashr katika Qur’ani Tukufu, naibu kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amegusia mgogoro mkubwa katika utawala haramu wa Israel na kuandika: “Wakawa wanazibomoa nyumba zao kwa mikono yao na mikono ya Waumini.”
Habari ID: 3476773 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/28
Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA) Naibu Katibu MKuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sheikh Naim Qassem amesisitiza kwamba Palestina haiko peke yake kwa sababu ulimwengu wa Kiislamu unaiunga mkono.
Habari ID: 3476247 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/14