usalama

IQNA

IQNA – Kufuatia kuongezeka kwa vitendo vya ujambazi na vurugu, Serikali ya Jimbo la Kano nchini Nigeria imeandaa kikao cha dua maalum mwishoni mwa wiki, ikiwakusanya Maqari au wasomaji wa Qur’ani Tukufu wapatao 4,444 kuomba msaada wa Mwenyezi Mungu kwa ajili ya amani na usalama katika jimbo lote na nchi zima kwa ujumla.
Habari ID: 3481636    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/09

IQNA – Kamati Kuu ya Iraq ya Uratibu wa Wafanyaziyara Mamilioni imetangaza kuwa hadi sasa hakuna ukiukaji wowote wa usalama ulioripotiwa wakati wa matembezi ya Arbaeen.
Habari ID: 3481082    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/14

LONDON (IQNA) - Uwanja wa London unatazamiwa kuandaa Tamasha la Kila mwaka la Chakula cha Halali cha Dunia mwezi huu.
Habari ID: 3477571    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/09

TEHRAN (IQNA)- Kufuatia tahadhari kutoka kwa serikali ya Ghana kuhusu uwezekano wa kutokea mashambulizi ya kigaidi, ulinzi umeimarishwa misikitini kwa amri ya kiongozi wa Kiislamu wa nchi hiyo, Mallam Othman Nuhu Sharubutu.
Habari ID: 3475300    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/26

Waziri wa Usalama Iran Mahmoud Alavi amesema magaidi wakufurishaji waliokamatwa hivi karibuni walipanga kutekeleza mashambulizi katika maeneo 50 kote Iran.
Habari ID: 3470409    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/22