Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon
Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon Gebran Bassil amesema utawala wa Kizayuni wa Israel unafaidika sana na mgogoro baina wa Waislamu wa madhehebu ya Shia na Suni.
Habari ID: 3311306 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/06
Kinara wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram nchini Nigeria, ametangaza muungano wa kundi hilo na kundi la kigaidi na kitakifiri la Daesh (ISIL).
Habari ID: 2955481 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/09
Kundi la kigaidi na kitakfiri linalojiita Daesh (ISIL) limebomoa msikiti mwingine wa kihistoria katika mji wa Mosul nchini Iraq.
Habari ID: 2944654 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/08
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali hatua ya mgaidi wa kundi la Daesh (ISIL) kumuwa kinyama rubani wa Jordan aliyekuwa ametekwa nyara na kundi hilo.
Habari ID: 2811515 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/04
Kituo cha Kiislamu cha al Azhar nchini Misri kimetoa wito wa kufukuzwa magaidi wote katika nchi za Waislamu.
Habari ID: 2617813 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/12
Tajiri maarufu wa Saudi Arabia Al Waleed bin Talal amekiri kuwa nchi hiyo ya kifalme inawasaidia magaidi wa kundi la kigaidi la Daesh (ISIL) ambalo linapigana dhidi ya serikali za Iraq na Syria.
Habari ID: 1463446 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/25