iqna

IQNA

Idara ya Qur’ani katika Wizara ya Utamaduni na Muongozo wa Kiislamu Iran imeandaa kongamano chini ya anuani ya ‘‘Qur’ani Katika Sirah na Fikra za Imam Khomeini’.
Habari ID: 3410354    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/29

Kongamano la Sita la Kimataifa la Utafiti wa Qur’ani litafanyika London, Uingereza mwezi Juni mwakani.
Habari ID: 3409346    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/29

Kongamano la kimataifa la "Uislamu, Rehema kwa Dunia" litafanyika Jakarta, Indonesia kuanzia Oktoba 13-16.
Habari ID: 3360473    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/08

Kongamano la Kimataifa lenye anuani ya "Uislamu na Amani" limefanyika wiki hii katika mji mkuu wa Senegal, Dhakar.
Habari ID: 3336950    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/30

Mji mkuu wa Syria , Damascus ni ulikuwa mwenyeji wa kongamano la kimataifa la 'Vyombo vya Habari na Vita Dhidi ya Ugaidi.'
Habari ID: 3332772    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/25

Mkuu wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar mjini Cairo Misri amelaani vikali jinai zinazofanywa na makundi ya kitakfiri duniani hasa kundi la Daesh (ISIL).
Habari ID: 2615011    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/04

Kongamano la Kimataifa kuhusiana na Tishio la Makundi ya Kitakfiri na Yenye Kufurutu Ada limeanza leo katika mji mtukufu wa Qum hapa nchini Iran kwa kuhudhuriwa na masheikh na maulamaa kutoka nchi mbalimbali duniani.
Habari ID: 1476323    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/23