IQNA: Qur’ani Tukufu ina maarifa ya kimataifa yanayopaswa kufafanuliwa, na ujumbe wake unapaswa kuwasilishwa kwa ulimwengu mzima, amesema Hujjatul Islam Mohsen Qara’ati, mwanazuoni wa Kiislamu na mtafsiri wa Qur’ani kutoka Iran.
Habari ID: 3480759 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/30
IQNA- Kongamano la 30 la Qur’an Tukufu na Hadithi limefanyika kwa mafanikio makubwa Jijini Dar-es-Salaam - Tanzania, likiwakutanisha wasomaji mahiri wa Qur’an kutoka nchini Iran na ndani ya Tanzania..
Habari ID: 3480721 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/22
Hija
IQNA - Jeddah nchini Saudi Arabia itakuwa mwenyeji wa toleo la nne la Mkutano na Maonyesho ya Hija mapema mwaka ujao wa Miladia.
Habari ID: 3479908 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/16
Harakati za Qur'ani
IQNA - Kongamano la 7 la Kimataifa Kuhusu Fikra za Qur'ani za Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyed Ali Khamenei limepokea makala zaidi ya 2,000, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3479742 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/12
Harakati za Qur'ani
IQNA - Chuo Kikuu cha Shahid Beheshti huko Tehran kitaandaa Kongamano la pili la Kimataifa la Mafunzo ya Taaluma za Qur'ani mapema mwaka ujao.
Habari ID: 3479476 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/23
Hija
IQNA – Kikao cha kimataifa cha kufungamana na Wapalestina wa Ukanda wa Gaza wakati wa ibada ya Hija kimepengwa kufanyika Jumatatu hii kwa njia ya intaneti..
Habari ID: 3478948 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/08
Wageni walioshiriki katika Kongamano la 37 la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu walitoa heshima zao kwa Imam Khomeini (R.A.) kwa kuhudhuria haram ya mwasisi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3477685 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/02
Shahidi Soleimani
TEHRAN (IQNA)-Kongamano la Kwanza wa Kimataifa wa Fikra za Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani limemalizika hapa mjini Tehran.
Habari ID: 3476363 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/06
Russia na Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Kongamano la wanazuoni kuhusu masomo ya Kiislamu limepangwa kufanyika katika mji mkuu wa Russia (Urusi) , Moscow mapema mwaka ujao.
Habari ID: 3475937 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/16
Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kongamano la 36 la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu litafanyika mjini Tehran kuanzia tarehe 17 hadi 22 Oktoba kwa kuhudhuriwa na wasomi na wanafikra kutoka sehemu mbalimbali za dunia.
Habari ID: 3475898 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/08
Shirika la Habari za Qur'ani Tukufu la Kimataifa (IQNA) litafanya kongamano la kimataifa kupitia intaneti kwa mnasaba wa kuadhimisha mwaka wa 43 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3474898 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/06
TEHRAN (IQNA)- Hujjatul Islam Hamid Shahriari, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amezungumza na waandishi habari kuhusu Kongamano la 35 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu.
Habari ID: 3474432 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/17
TEHRAN (IQNA)- Mkutano wa 35 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu utafanyika Tehran na kushirikisha wasomi 50 maarufu duniani.
Habari ID: 3474429 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/16
TEHRAN (IQNA)- Waandaaji wa Mkutano wa 35 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu wamealika wasomi, wanafikra na wataalam kutuma makala zao katika kongamano hilo.
Habari ID: 3474273 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/08
TEHRAN (IQNA)- Kongamano la Pili la Kimataifa la Quds Tukufu limeanza kwa njia ya intaneti ambapo kuna washiriki kutoka nchi mbali mbali.
Habari ID: 3473878 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/05
TEHRAN (IQNA)- Kongamano la kitaalamu la "Vyombo vya Habari na Njia ya Fikra ya Suleimani" lililofanyika leo katika Ukumbi wa Ma kongamano ya Kimataifa wa IRIB hapa mjini Tehran.
Habari ID: 3473520 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/03
Wiki ya Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Mkutano wa 34 wa kimataifa wa Umoja wa Kiislamu umeanza kufanyika mjini Tehran ukihudhuriwa na shakhsia 167 wa ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3473310 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/30
TEHRAN (IQNA)-Mji wa Oxford nchini Uingereza utakuwa mwenyeji wa kongamano la kimataifa la Qur'ani Tukufu baadaye mwaka huu.
Habari ID: 3470912 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/29
IQNA: Kongamano la Pili la Kimataifa la "Elimu ya Kiislamu na Utafiti wa Qur'ani na Hadithi za Mtume SAW" limepangwa kufanyika mjini Mataram, Indonesia Machi 2017.
Habari ID: 3470762 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/26
Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu Iran Ayatullah Hashemi Rafsanjani amesema kuwa Qur'ani tukufu ilikuwa chanzo cha shakhsia na mafanikio makubwa ya hayati mwanzilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Imam Khomeini MA.
Habari ID: 3428213 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/01