Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa sera za uharibifu za utawala wa Aal Saud na kusema kuwa hatua ya utawala huo ya kuishambulia nchi jirani yake ni ya kichokozi na yenye kudhihirisha uistikbari wa utawala huo.
Habari ID: 3390838 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/20
Maulamaa wa Iraq
Makhatibu wa Sala ya Ijumaa nchini Iraq wametoa wito wa kukarabatiwa makaburi ya Janatul Baqi ambayo yalibomolewa na utawala wa Aal Saud.
Habari ID: 3332765 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/25