tv

IQNA

IQNA – Mwanazuoni wa vyombo vya habari kutoka Sudan, Mohammad al-Nour al-Zaki, amesema kuwa Uislamu una mtazamo wa kina na wa kuunganisha kuhusu mwanadamu na maisha, lakini ujumbe wake bado haujawakilishwa ipasavyo kimataifa kutokana na ukosefu wa mijadala ya kielimu na nyenzo za mawasiliano za kisasa.
Habari ID: 3481459    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/03

IQNA – Maqari mashuhuri wa Qur'ani kutoka Iran wanatarajiwa kuzuru Tanzania kushiriki katika kongamano kubwa la kimataifa la Qur'ani litakalofanyika jijini Dar es Salaam.
Habari ID: 3480676    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/12

IQNA – Toleo la pili la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya "Wa Rattil," yaliyoandaliwa  na Thaqalayn TV, limehitimishwa mwishoni mwa mwezi mtukufu wa Ramadhani, likiwashirikisha washiriki kutoka mataifa mbalimbali wakiwania nafasi za juu. 
Habari ID: 3480485    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/02

IQNA – Televisheni ya satelaiti ya Al-Thaqalayn imezindua toleo la pili la mashindano ya usomaji wa Qur’ani Tukufu kwa Tarteel kuadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480327    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/08

Madrassah ya kufundishia Qur’an yenye umri wa zaidi ya karne nchini Uganda, itazamiwa kukarabatiwa upya hivi karibuni ili kuendelea kutumika kwa ajili ya kutoa mafunzo sahihi ya dini ya Kiislamu.
Habari ID: 3353009    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/26

Waislamu nchini Uganda wamezindua televisheni ya kwanza kabisa ya Kiislamu nchini humo na hivyo kuhuisha matumaini ya mwamko mpya baada ya sauti ya Waislamu kukandamizwa kwa muda mrefu na vyombo vya habari nchini humo.
Habari ID: 3351062    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/24