iqna

IQNA

Jumuiya ya Kiutamaduni, Kisayansi na Kielimu ya Nchi za Kiislamu ISESCO imetoa taarifa na kulaani vikali mlipuko wa jana katika mji mkuu wa Uturuki, Ankara.
Habari ID: 3384025    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/11