kiongozi muadhamu - Ukurasa 5

IQNA

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Jumatano asubuhi amepanda miche miwili ya miti ya matunda katika maadhimisho ya Wiki ya Rasilimali za Maliasili nchini Iran.
Habari ID: 3470885    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/09

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema utawala wa Kizayuni wa Israel unalenga kuvuruga uhusiano mzuri wa Iran na nchi jirani ya Jamhuri ya Azerbaijan.
Habari ID: 3470881    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/06

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika mkutano na Waziri Mkuu wa Sweden
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema, matatizo yote ya eneo la Mashariki ya Kati ni uingiliaji wa baadhi ya madola makubwa ikiwemo Marekani katika masuala ya ndani ya eneo hili.
Habari ID: 3470844    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/11

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatollah Ali Khamenei amesema Iran inapaswa kuendelea kuimarisha nguvu zake ili kukabiliana na maadui.
Habari ID: 3470763    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/27

Kiongozi Muadhamu:
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, njia bora kabisa ya kuwa karibu na Mwenyezi Mungu ni kushikamana na Sala na kusoma Quráni.
Habari ID: 3470741    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/14

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Marekani daima inapinga nguvu na kupata uwezo nchi za Kiislamu ikiwemo Iraq na kamwe hatupaswi kuhadaika na dhahiri na tabasamu za Wamarekani.
Habari ID: 3470736    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/12

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria matukio machungu na ya kusikitisha katika eneo na nafasi ya baadhi ya madola makubwa katika kulazimisha ukosefu wa uthabiti na vita katika mataifa.
Habari ID: 3470691    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/22

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema usalama ni moja ya nguzo kuu za ustawi na maendeleo ya Iran ya Kiislamu.
Habari ID: 3470599    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/04

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Hauza au Hawza (Chuo Kikuu cha Theolojia ya Kiislamu) inahitaji kuwa na mpango wa mabadiliko na marekebisho na kulitaja hitajio hilo kuwa muhimu katika mazingira ya sasa.
Habari ID: 3470594    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/02

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuhimiza kumbukumbu ya mashahidi ni moja ya nukta muhimu katika kukabiliana na njama za adui na kulinda mapambano katika jamii.
Habari ID: 3470593    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/02

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema miongoni wa nukta muhimu za nguvu laini za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kutoyaamini hata kidogo madola ya kibeberu, hasa Marekani.
Habari ID: 3470570    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/19

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema utawala khabithi wa ukoo wa Aal Saud haustahiki kusimamia Haram Mbili Takatifu za Waislamu.
Habari ID: 3470552    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/07

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Khamenei amewasilisha sera jumla kuhusu familia ili zitekelezwe na vyombo vyote husika nchini Iran.
Habari ID: 3470547    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/03

Kiongozi Muadhamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepuuzilia mbali madai ya Washington kuwa iko tayari kufanya mazungumzo na Iran juu ya masuala mbalimbali ya kieneo.
Habari ID: 3470430    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/03

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Waislamu kote duniani watajitokeza kwa wingi katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds kwa lengo la kuwaunga mkono Wapalestina wanaodhulimiwa.
Habari ID: 3470424    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/30

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Jumamosi amesema magaidi wa ISIS waliibuliwa kuiangamiza Iran lakini kwa nguvu zake, Iran imeweza kuwalemaza.
Habari ID: 3470415    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/26

Kiongozi Muadhamu Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amebainisha vipengee kadhaa vya hekima za Imam Ali bin Abi Twalib (as) zilizoandikwa katika kitabu cha Nahjul Balagha.
Habari ID: 3470413    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/24

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametahadharisha juu ya njama za maadui wanaoazimia kukwamisha maendeleo ya Iran.
Habari ID: 3470389    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/15

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu leo Jumatano ameonana na washiriki wa Mashindano ya 33 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu yaliyomalizika jana hapa mjini Tehran na kusema kuwa, Qur'ani ndio mhimili wa umoja wa umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3470319    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/18

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa wito kwa wasomi wa kidini kushiriki kilamilifu katika mambo yote yanayohusu nchi na jamii
Habari ID: 3470313    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/15