IQNA: Waislamu nchini Canada katika eneo la Peel, mkoa wa Ontario wameanza sherehe za Maulidi ya Mtume Muhammad SAW, Mtume wa Rehema kwa walimwengu.
Habari ID: 3470731 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/10
IQNA-Mwandishi habari wa kike huko Toronto amekuwa wa kwanza kusoma habari akiwa amevaa vazi la Kiislamu la Hijabu.
Habari ID: 3470699 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/26
Polisi nchini Canada wamesema kuwa, moto ulioteketeza msikiti mmoja katika mji wa Peterborough mkoani Ontario ulitokana na kuwashwa na watu wenye chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3453396 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/16
Idadi kubwa ya Waislamu na hata wasiokuwa Waislamu nchini Canada wameendelea kuvutiwa sana na filamu ya Mtume Muhammad SAW iliyotengenezwa nchini Iran.
Habari ID: 3357607 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/03