TEHRAN (IQNA) – Katika tukio la aina yake katika historia ya jamii ya Waislamu nchini Canada, idadi kubwa ya Waislamu wamechaguliwa bungeni katika uchaguzi uliofanyika Jumatatu.
Habari ID: 3472185 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/24
TEHRAN (IQNA) – Waalimu wametimuliwa katika shule moja huko Montreal, Canada baada ya kusistiza kuendelea kuva vazi la staha la Kiislamu, Hijab.
Habari ID: 3472127 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/12
TEHRAN (IQNA) – Hospitali moja katika eneo la Fort McMurry, mkoani Alberta, nchini Canada imekuwa hospitali ya kwanzake katikaukanda wa Alberta kaskazini kuwapa wagojwa chaguo la chakula halali.
Habari ID: 3471944 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/06
TEHRAN (IQNA)-Nchini Canada, binti Muslamu mwenye umri wa miaka 11 ameshambuliwa na Hijabu yake kuraruliwa wakati akiwa njiani kuelekea shuleni katika tukio la hujuma ya chuki dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3471352 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/13
TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Canada wamekuwa na mchango mkubwa na ni rasilimali muhimu kwa nchi amesema Waziri Mkuu Justin Trudeau katika ujumbe wake kwa Kongamano la Kuhuisha Uislamu.
Habari ID: 3471322 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/24
TEHRAN (IQNA)-Tamasha la Chakula Halal mjini Toronto, Canada, ni tamasha kubwa zaidi la chakula Halal eneo la Amerika Kaskazini na mwaka huu limewavutia Waislamu wengi waliojivunia mafanikio yao katika jamii.
Habari ID: 3471073 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/18
TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Canada wanachangisha pesa kusaidia familia za raia wa Somalia wanaokabilia na baa la njaa.
Habari ID: 3471003 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/01
TEHRAN (IQNA)-Watu wanaouuchukia Uislamu (Islamophobes) wameandamana na kuvunjia heshima nakala ya Qur'ani Tukufu huko Ontario, Canada mapema wiki hii.
Habari ID: 3470906 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/25
IQNA-Jumuiya ya Vijana Waislamu huko Canada imepanga maonyesho 100 ya Qur'ani kote katika nchi hiyo katika kampeni ya 'Uislamu Ufahamike'.
Habari ID: 3470880 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/05
IQNA: Gaidi Mkristo aliyewaua Waislamu sita katika msikiti mmoja nchini Canada amebainika kuwa mfuasi wa Rais Donald Trump wa Marekani.
Habari ID: 3470827 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/01
IQNA-Waislamu sita wameuawa katika hujuma ya kigaidi dhidi ya msikiti mmoja katika mji wa Quebec nchini Canada.
Habari ID: 3470823 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/31
IQNA-Awamu ya 12 ya Mashindano ya Kila Mwaka ya Qur’ani ya Amerika Kaskazini yamepangwa kufanyika mjini Toronto, Canada mwaka 2017.
Habari ID: 3470752 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/21
IQNA: Waislamu nchini Canada katika eneo la Peel, mkoa wa Ontario wameanza sherehe za Maulidi ya Mtume Muhammad SAW, Mtume wa Rehema kwa walimwengu.
Habari ID: 3470731 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/10
IQNA-Mwandishi habari wa kike huko Toronto amekuwa wa kwanza kusoma habari akiwa amevaa vazi la Kiislamu la Hijabu.
Habari ID: 3470699 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/26
Polisi nchini Canada wamesema kuwa, moto ulioteketeza msikiti mmoja katika mji wa Peterborough mkoani Ontario ulitokana na kuwashwa na watu wenye chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3453396 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/16
Idadi kubwa ya Waislamu na hata wasiokuwa Waislamu nchini Canada wameendelea kuvutiwa sana na filamu ya Mtume Muhammad SAW iliyotengenezwa nchini Iran.
Habari ID: 3357607 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/03