Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
        
        Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, dhana iliyotawala kwamba Marekani ni nchi isiyoweza kushindwa, ilikuwa ni kosa kubwa na kwamba makosa ya kujirudia ya Marekani katika eneo yameifanya ishidwe.
                Habari ID: 3470629               Tarehe ya kuchapishwa            : 2016/10/23
            
                        Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
        
        Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema miongoni wa nukta muhimu za nguvu laini za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kutoyaamini hata kidogo madola ya kibeberu, hasa Marekani.
                Habari ID: 3470570               Tarehe ya kuchapishwa            : 2016/09/19
            
                        Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
        
        Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu asema mapatano ya nyuklia kati ya Iran na nchi za kundi la 5+1 maarufu kwa kifupi JCPOA ni tajiriba inayoonesha kutokuwa na matunda wala faida kufanya mazungumzo na Marekani .
                Habari ID: 3470486               Tarehe ya kuchapishwa            : 2016/08/01
            
                        Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
        
        Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, mfumo wa kibeberu uliosimama juu ya msingi wa kutumia mabavu ya kisiasa, kiuchumi, kiutamaduni na kijeshi.
                Habari ID: 3470221               Tarehe ya kuchapishwa            : 2016/03/31