Mtazamo
Siku kama ya leo miaka 34 iliyopita, sawa na tarehe 14 Khordad mwaka 1368 kwa mujibu wa kalenda ya Hijria Shamsia sawa na mwezi Juni 1989, Imam Ruhullah Musawi Khomeini (MA) mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aliaga dunia akiwa na umri wa miaka 87. Ulimwengu wa Kiislamu uligubikwa na majonzi na huzuni kubwa kuutokana na kutangazwa kifo cha Imam.
Habari ID: 3477098 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/04
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza katika kikao cha maafisa wanaoshughulikia ibada ya Hija kwamba: Hija ni tukio la kimataifa na miadi ya dunia yenye manufaa mengi ya dunia na Akhera.
Habari ID: 3477008 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/17
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema maadui wanapinga Mapinduzi ya Kiislamu, Imam Khomeini (MA), na maadhimisho ya Mapinduzi ya Kiislamu kila mwaka, sambamba na kuupinga mfumo wa Kiislamu unaotawala hapa nchini Iran; na kusisitiza kuwa, lengo la maadui ni kubadilisha utambulisho wa taifa hili na Mapinduzi ya Kiislamu, na badala yake walete demokrasia bandia ya Kimagharibi.
Habari ID: 3476740 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/22
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya wiki hii mjini Tehran amesisitiza kuwa: adui amefanya makosa katika hesabu zake huku taifa la Iran likichagua mantikiya Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3476717 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/17
Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN(IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina, Ziyad al-Nakhalah amemtumia ujumbe Kiongozi Muadhamu wa Mapiinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei akimpongeza kwa mnasaba wa kutimia miaka 44 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran.
Habari ID: 3476551 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/12
Bahman 22
TEHRAN (IQNA)- Sherehe za ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini zimefanyika kote nchini kwa ajili ya kuadhimisha miaka 44 ya mapinduzi hayo hayo, huku miji na vijiji vyote vya Iran vikishuhudia maandamano makubwa kuelekea viwanja na maeneo ya umma.
Habari ID: 3476545 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/11
Azimio la Bahman 22
TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Iran wametangaza katika azimio lao walilotoa mwishoni mwa maandamano ya Bahman 22 ya kwamba, kuwa kitu kimoja, kuungana, mshikamano, umoja wa kitaifa, kuwa na moyo mmoja makundi na matabaka na kushirikiana watu wa kaumu na dini zote nchini ni wajibu wa kidini na kimapinduzi na ndio mkakati muhimu zaidi wa kumshindia adui.
Habari ID: 3476544 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/11
Mwaka wa Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuhusiana na mafanikio yaliyopatikana nchini katika nyuga mbalimbali za sayansi, teknolojia, uchumi, ulinzi, afya na tiba kwamba adui hawezi kuyavumilia maendeleo na hatua ilizopiga Iran
Habari ID: 3476543 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/11
Mwanaharakati wa Nigeria
TEHRAN (IQNA) - Mwanaharakati wa Nigeria anasema Mapinduzi ya Kiislamu yakiongozwa na Imam Khomeini-Mwenyezi Mungu Amrehemu- yaliwakomboa watu waliokuwa wamekandamizwa na madola ya kibeberu ya Magharibi na kambi ya Kikomunisti.
Habari ID: 3476531 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/08
Mwaka wa 44 wa Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Warsha ya kimataifa inatazamiwa kufanyika siku ya Jumatano kwa njia ya intaneti kwa lengo la kujadili Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3476527 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/07
Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa msamaha na punguzo la vifungo kwa makumi ya maelfu ya watuhumiwa na wafungwa kwa mnasaba wa kuwadia maadhimisho ya miaka 44 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu na sikukuu za mwezi wa Rajab.
Habari ID: 3476518 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/06
Alfajiri 10 za Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Iran wameanza sherehe za Alfajiri Kumi katika kona zote za nchi kwa ajili ya kuadhimisha miaka 44 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya mwaka 1979 nchini Iran ambayo yaliupindua utawala wa kitaghuti wa Kipahlavi uliokuwa unaungwa mkono kila upande na Marekani.
Habari ID: 3476499 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/01
Rais Ebrahim Raisi akiwa katika Haram ya Imam Khomeini (MA)
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi amesema: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran chini ya uongozi wa Imam Khomeini (MA) yamedumu licha ya fitna na njama zote za adui na yamezidi kudhihirika duniani.
Habari ID: 3476494 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/31
Kwa mnasaba wa maadhimisha ya mwaka wa 44 wa Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezuru haram toharifu ya Imam Khomeini (MA), mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kumuenzi na kumsomea Faatiha kiongozi huyo mwenye adhama kubwa wa taifa la Iran.
Habari ID: 3476493 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/31
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema mustakabali wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran hii leo umeng'ara zaidi kuliko wakati wowote ule.
Habari ID: 3475967 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/21
Spika wa Bunge la Iran katika Kongamano la Kimataifa la Wanaharakati wa Umahdi
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Bunge la Iran amesema chimbuko la Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni fikra za Imam Mahdi, Mwenyezi Mungu Aharikishe Kudhihiri Kwake, na Ashura.
Habari ID: 3475346 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/07
Fikra za Imam Khomeini
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Mudhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameshiriki katika Hauli ya mwaka wa 33 tokea alipoaga dunia muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema, "Imam Khomeini MA alikuwa roho ya Jamhuri ya Kiislamu'
Habari ID: 3475334 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/04
Fikra za Imam Khoemini
TEHRAN (IQNA)- Rais Ibrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Ijumaa usiku alihutubu katika hafla ya mkesha wa mwaka wa 33 tokea alipoaga dunia Imam Khomeini (MA) muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iliyofanyika katika Haram Takatifu ya mtukufu huyo na kusema: "Mapambano dhidi ya uistikbari na udhalimu ni kati ya maudhui asili za Fikra za Imam Khomeini MA."
Habari ID: 3475333 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/04
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Marekani ni utawala wa kimafia na kwamba, Ukraine imekuwa mhanga wa siasa za utawala huo.
Habari ID: 3474989 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/01
TEHRAN (IQNA)- Wakuu wa nchi mbalimbali walituma ujumbe wa kuipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mwaka wa 43 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3474920 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/12