iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Sheikh Nawaf al-Ahmad al-Jaber al-Sabah ameteuliwa kuwa amiri mpya wa Kuwait baada ya kuaga dunia Sheikh Swabah al-Ahmad Jabir as-Swabah.
Habari ID: 3473218    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/30

TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa Kuwait Emir Sheikh Sabah Al Ahmad Al Sabah amefariki dunia na punde baada ya hilo kubainika, televisheni ya nchi hiyo ilikatiza matangazo ya kawaida na kuanza kurusha hewani qiraa ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3473215    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/29

TEHRAN (IQNA) – Mfalme Salman wa Saudi Arabia amelazwa hospitalini katika mji mkuu wa nchi hiyo, Riyadh kutokana na matatizo ya kibofu cha nyongo.
Habari ID: 3472981    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/20

TEHRAN (IQNA) – Kuwait imesema inapanga kuruhusu tena Swala za Ijumaa wiki hii, vyombo vya habari nchini humo vimeripoti.
Habari ID: 3472965    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/15

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Kuwait imefunga kwa muda misikiti nchini na kubadilisha adhana kufuatia hofu ya kuenea ugonjwa wa COVID-19 maarufu kama corona.
Habari ID: 3472570    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/16

TEHRAN (IQNA) – Vituo vya kufunza Qur'ani Tukufu nchini Kuwait vimefungwa kwa kuhofia kuenea kirusi cha Corona.
Habari ID: 3472515    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/29

TEHRAN (IQNA) – Kituo kipya cha kuchapisha Qur'ani Tukufu kitafunguliwa katika wilaya ya Sabhan mkoani Mubarak al-Kabeer.
Habari ID: 3472506    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/26

TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 9 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Kuwait, maarufu kama Zawadi ya Kuwait, yalianza Jumanne katika mji mkuu wa nchi hiyo.
Habari ID: 3471462    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/12

TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 9 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Kuwait yanatazamiwa kuanza katika nchi hiyo ya Ghuba ya Uajemi mnamo Aprili 10.
Habari ID: 3471446    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/28

Mashindano ya 19 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Kuwait yameanza Jumatatu hii.
Habari ID: 3356079    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/01

Mshtakiwa muhimu zaidi wa shambulio la kigaidi ndani ya msikiti mmoja nchini Kuwait amekiri kuwa ni mwanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.
Habari ID: 3339565    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/06

Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani hujuma ya hivi karibuni ya kigaidi dhidi ya msikiti nchini Kuwait.
Habari ID: 3320677    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/28

Watu wasiopungua 25wameuawa kufuatia hujuma ya kigaidi iliyolenga msikiti wa Imam Sadiq AS katika mji wa Kuwait.
Habari ID: 3319688    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/26

Ayatullah Udhma Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jumatatu asubuhi mjini Tehran alionana na Sheikh Sabah al Ahmad al Jabir as Sabah, Amir wa Kuwait na ujumbe alioandamana nao na kusema kuwa, eneo la Ghuba ya Uajemi na usalama wake ni suala muhimu mno.
Habari ID: 1414303    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/03