Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Jumuiya ya Nchi za Kiislamu ISESCO Abdulaziz Othman al Twaijri amemtangaza Jean Poul Cartron katika Baraza la Seneti la Ufaransa kuwa balozi wa ISESCO katika mazungumzo kati ya tamaduni mbalimbali.