Kituo cha Financeislamique kimeripoti kuwa sambamba na kuchunguza nafasi ya uchumi wa Kiislamu kama chombo kipya cha kiuchumi, Wizara za Uchumi, Viwanda na Kazi za Ufaransa, Jumuiya ya Ulaya na Morocco na Mawakili wa Sheria za Kazi wa Ufansa watashiriki pia katika mjadaja wa uchumi wa Kiislamu na faida zake kwa mustakbali wa nchi hiyo.
Lengo la kufanyika mkutano huo limetajwa kuwa ni kuchunguza uchumi wa Kiislamu katika mtazamo wa kishera. 357987