Obama amesema kwamba wananchi wa Marekani wanapaswa kuhakikisha kwamba hawakabiliani wenyewe kwa wenyewe na kwa mara nyingine amekariri wasiwasi wake kuwa, kitendo hicho huenda kikahatarisha maisha ya askari wa Marekani walioko nje ya nchi hiyo.
Kasisi Terry Jones alikuwa ametishia kutekeleza kitendo hicho cha kishetani na kiwendawazimu Septemba 11 kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mashambulizi yaliyojaa utata yaliyotokea nchini Marekani mwaka 2001.
652323