Kwa mujibu wa tovuti ya Lubnan al-Aan, Kuhani Is'haq Shaibra ambaye ni mmoja wa makuhani wenye misimamo ya kupindukia mipaka wa Kizayuni ametoa fatuwa hiyo ya kijinai akiwaruhusu askari wa Kizayuni kuwatumia Wapalestina kama ngao ya kibinadamu katika operesheni zao za kijeshi. Kuhani huyo muovu mwaka mmoja uliopita pia aliandika kitabu kilichowaruhusu Mayahudi kuua raia wa Kipalestina wasio na hatia wakiwemo watoto wadogo. 679993