Pashazade akachaguliwa kuwa mshindi wa tuzo na amani ya Nobel.
Shirika la habari la Interfax limeripoti kuwa sababu ya kuteuliwa Pashazade kuwa mshindi mtarajiwa wa tuzo ya amani ya Nobel ni juhudi zake za kurejesha amani katika jimbo la Chechnya, kuondoa hitilafu kati ya Waislamu wa madhehebu ya Shia na Suni na kubuni mpango wa kutoa zawadi ya damu kwa wanaohitaji katika siku za maombolezo ya mwezi wa Muharram. 712511