Kwa mujibu wa gazeti la Saudi Gazette, Meya Usama bin Fadhil al-Bar amesema kuwa dola bilioni 27 zimetengwa kwa ajili ya kupanua na kuubadilisha mji wa Makka kuwa mji wa kisasa katika kipindi cha miaka 10 ijayo.
Ameongeza kuwa kuongezwa uwezo wa Saudia wa kuwapokea mahujaji ni miongoni mwa mipango ya mradi huo mkubwa wa ustawi. 738332