Akizungumzia suala hilo Muhammad bin Abdallah as-Swaqri, mkuu wa idara ya wakfu na masuala ya kidini ya Oman amesema uwa mashindano hayo yatawashirikisha washindani kutoka pembe zote za nchi hiyo inayoongozwa kifalme. Amesema washindani wanaume na wanawake 42 walishiriki katika hatua ya kwanza ya mashindano hayo ambayo ilifanyika hapo siku ya Jumatatu. Amesema kuwa mashindano hayo ya kila mwaka yatakuwa yakifanyika katika miji mbalimbali ya nchi hiyo. 773002