IQNA

Picha: Wageni wa Kigeni na Viongozi Mashuhuri Watoa Heshima kwa Mwili wa Imam Shahidi

IQNA – Katika hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa Sala a wa Imam Khomeini (MA) mjini Tehran siku ya Ijumaa, Julai 3, 2026, wageni wa kimataifa pamoja na maafisa mbalimbali walitoa heshima kwa mwili mtukufu wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyed Ali Khamenei.
Habari zinazohusiana