Kwa mujibu wa tovuti ya ic-el sherehe hizo zimepangwa na jumuiya ya wanawake ya kituo hicho na zinatazamiwa kuanza saa 12 na nusu jioni.
Sherehe hizo ambazo zitawashirikisha wanawake tu zitajumuisha ratiba tofauti ambazo zimeandaliwa na wasimamizi wa kituo hicho cha Kiislamu kwa ajili ya kuadhimisha uzawa wa Bibi Fatima na Siku ya Wanawake. 791141