Hayo ni kwa mujibu wa Murtadha Mohammadnejad mshindi wa kitengo cha hifdahi katika duru ya 28 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Iran.
Ameongeza kuwa mazingira mazuri ya kimaanawi katika familia hutoa mchango mkubwa kwa wale wanaohifadhi Qur’ani.
Kuhusu namna alivyohifadhi Qur’ani anasema: ‘Nilikuwa nahifadhi ukurasa moja kwa wiki, ingawa mbinu hii ilichukua mufa mrefu kuhifadhi Qur’ani nzima, lakini ilinipa fursa ya kurudia na kujitathmini’.
857933