Mkutano huo utahudhuriwa na maulamaa na wanafikra wa Kishia na Kisuni kwa shabaha ya kuimarisha umoja na mshikamano wa Kiislamu na kupambana na siasa mbovu za Marekani.
Washiriki katika mkutano huo pia watafanya maandamano ya kupinga kitendo kiovu cha Kasisi Terry Jones wa Marekani cha kuchoma moto nakala za Qur'ani Tukufu. 1003761