Mkurugenzi wa kituo hicho Adel al Kinani amesema kuwa tafiti tano zimeteuliwa kwa kuzingatia vigezo makini vya kielimu na kwamba utafiti wa Ali Zein umeshika nafasi ya kwanza.
Mkurugenzi w Kituo cha Kitaifa cha Sayansi za Qur'ani cha Iraq amesema kuwa shughuli za Wiki ya Nne ya Qur'ani nchini humo zingali zinaendelea katika sehemu kadhaa kama mashindano ya Qur'ani, hifdhi na tafsiri ya kitabu hicho kitukufu. 1111067