Toleo hilo linajadili masuala muhimu kama vile Ahlul Bait (as) katika aya ya Mawadda, udugu, usawa, takuwa katika mtazamo wa Qur'ani na nafasi ya usalama katika Qur'ani Tukufu.
Sauti ya Qur'ani ni moja ya majarida ya kitaalamu na kielimu yanayojishughulisha na masuala tofauti ya utafiti katika Qur'ani Tukufu. 1113668