Mkurugenzi Mkuu wa Darul Qur’ani ya Gaza Mahmoud al Khas amesema kuwa jumuiya hiyo imepata uanachama katika Jumuiya ya Kimataifa ya Kuhifadhi Qur’ani kutokana na jitihada kubwa za viongozi na wafanyakazi wake.
Uanachama huo utaiwezesha jumuiya ya Darul Qur’an kupata misaada na kuimarisha shughuli zake za kutoa elimu na mafunzo ya Qur’ani na Suna za Mtume. 1123315