IQNA

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 20

6:41 - March 21, 2025
Habari ID: 3480409
Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.

Day 20 of Ramadan: Today’s Special Supplication

Ee Mwenyezi Mungu! Nifungulie milango ya peponi (ili niingie kwa haraka), na Unifungie milango ya moto (ili nisipate kuingia humo) Uniwafikie kuisoma Qur'ani kwa wingi sana katika mwezi huu, Ee Mwenye kutia utulivu nyoyoni mwa wenye kuamini.

captcha