IQNA-Chanzo cha kuigwa kutoka Iran, Ayatullah Mkuu Nasser Makarem Shirazi, amesisitiza haja ya ulimwengu wa Kiislamu kurejea katika kanuni ya msingi ya umoja.
Habari ID: 3481201 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/08
Ayatullah Makarim Shirazi
Ayatullah Naser Makarim Shirazi,mwanazuoni mwandamizi wa Kiislamu mjini Qum nchini Iran amesema kuwa Uwahhabi uko mbali na Uislamu kwani wafuasi wa pote hilo wamepotosha Uislamu.
Habari ID: 3470232 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/07