IQNA – Mwanazuoni wa ngazi za juu wa Kiislamu kutoka Iran amelaani vikali vitendo vya kikatili vinavyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Lebanon.
Habari ID: 3482142 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/15
Qur’ani ni Chemchemi ya Maarifa
IQNA – Mwanazuoni maarufu wa Kiislamu nchini Iran amesisitiza kuwa akili mnemba (AI) inapaswa kutumika kwa lengo la kuendeleza Qur’ani Tukufu, akibainisha kuwa jukumu hilo ni huduma muhimu ya kielimu kwa Uislamu.
Habari ID: 3481517 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/15
IQNA-Chanzo cha kuigwa kutoka Iran, Ayatullah Mkuu Nasser Makarem Shirazi, amesisitiza haja ya ulimwengu wa Kiislamu kurejea katika kanuni ya msingi ya umoja.
Habari ID: 3481201 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/08
Ayatullah Makarim Shirazi
Ayatullah Naser Makarim Shirazi,mwanazuoni mwandamizi wa Kiislamu mjini Qum nchini Iran amesema kuwa Uwahhabi uko mbali na Uislamu kwani wafuasi wa pote hilo wamepotosha Uislamu.
Habari ID: 3470232 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/07