iqna

IQNA

IQNA – Waislamu nchini Singapore (Singapuri) wamejitolea kuchangia nyama kwa watu wa Gaza wakati wa sikukuu ya Idul Adha, kutokana na janga la kibinadamu katika Ukanda huo uliozingirwa na utawala dhalimu wa Israel.
Habari ID: 3480526    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/11

Waislamu Singapore
TEHRAN (IQNA) – Idadi ya Waislamu kutoka Singapore wanaofanya ibada ya Hija ndogo ya Umrah imeongezeka kwa asilimia 45 ikilinganishwa na enzi ya kabla ya janga la corona.
Habari ID: 3476647    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/02

TEHRAN (IQNA) – Msikiti uliojengwa miaka 130 iliyiopita nchini Singapore, umefunguliwa baada ya ukarabati wa miaka miwili na sasa unaweza kubeba waumini 2,500 kutoka 1,500.
Habari ID: 3472473    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/15