iqna

IQNA

kazakhstan
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
ASTANA (IQNA) - Mwakilishi kutoka Morocco alishinda tuzo ya juu ya Mashindano ya Kwanza ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Kazakhstan.
Habari ID: 3477834    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/03

Mashindano ya Qur'ani
ASTANA (IQNA) - Toleo la kwanza la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu nchini Kazakhstan limeanza leo Jumatano asubuhi  katika mji mkuu, Astana.
Habari ID: 3477824    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/01

Mazungumzo baina ya dini
TEHRAN (IQNA) - Mufti Mkuu wa Kazakhstan Sheikh Nauryzbay Kazhy Taganuly amepongeza nafasi ya kimkakati ya Iran katika kukuza mazungumzo kati ya dini mbali mbali.
Habari ID: 3475789    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/15

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amekutana na Rais wa Kazakhstan na kusema tatizo kuu katika kadhia ya Ukraine ni kuwa, nchi za Magharibi zina mpango wa kupanua muungano wa kijeshi wa NATO.
Habari ID: 3475400    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/20

Kikao cha Kazakhstan chabaini
TEHRAN (IQNA)- Washiriki wa kikao kimoja cha kidini nchini Kazakhstan wametaja chuki dhidi ya Uislamu kuwa moja ya vizingiti vikubwa katika kufikiwa amani duniani.
Habari ID: 3474401    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/09

TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya kuhifadhi na kusoma Qur'ani Tukufu yamefanyika nchini Kazakhstan katika mji wa Taraz ambapo wanawake 87 wameshiriki.
Habari ID: 3472305    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/26

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema ili kupambana na hatari ya ugaidi na muamala wa kindumakuwili wa madola makubwa, kuna haja kwa nchi za Kiislamu kuongeza ushirikiano wao katika fremu ya siasa za kutimia akili na za kimantiki.
Habari ID: 3470242    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/11