Utamaduni
IQNA - Msikiti Mkuu wa Djenne nchini Mali wikiendi huu ulikuwa eneo la sherehe kitamaduni za kila mwaka. Ukarabati upya wa kila mwaka wa msikiti huo ulifanyika kwa kushirikisha watu wengi.
Habari ID: 3478820 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/14
TEHRAN (IQNA) –Kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu, ibada ya Hija ni wajibu kwa kila Mwislamu mwenye uwezo wa kifedha na kiafya.
Habari ID: 3473031 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/04
Misikiti 10 mipya inatazamiwa kujengwa nchini Mali magharibi mwa Afrika kupitia ufadhili wa Taasisi ya Misaada ya RAF.
Habari ID: 3454532 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/19