TEHRAN (IQNA)- Makundi ya kutetea haki za binadamu yameutaka utawala wa Kizayuni wa Israel usitishe hujuma zake za kijeshi dhidi ya Ukanda wa Ghaza na uwalipe fidia wakulima uliowaharibia  mashamba  yao.
                Habari ID: 3473356               Tarehe ya kuchapishwa            : 2020/11/13