Radio ya Qurani

IQNA

IQNA – Kisomo cha Qur’ani Tukufu kwa tarteel kilichorekodiwa na wanafunzi wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kitaanza kurushwa hewani kupitia Idhaa ya Qur’ani ya Cairo kuanzia leo.
Habari ID: 3481496    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/10

Harakati za Qur'ani
IQNA - Sherehe imefanyika katika Radio au Idhaa ya Qur'ani ya Misri huko Cairo kusherehekea kumbukumbu ya miaka 60 ya kuanzishwa kwa kituo hicho cha redio
Habari ID: 3478725    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/24

TEHRAN (IQNA) – Wananchi wa Tunisia wameandamana katika mji mkuu Tunis, kulaani uamuzi wa kuifunga Radio ya Qur’an nchini.
Habari ID: 3473436    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/08