TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa kale wa Al-Aydarus katika mji wa Aden nchini Yemen ni kati ya misikiti ya kale mjini humo lakini sasa unakaribia kubomoka na kuangamia kutokana na kupuuzwa hasa katika kipindi hiki cha vita nchini humo.
Habari ID: 3473739 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/16