iqna

IQNA

Waislamu Australia
TEHRAN (IQNA)- Bw. Ed Husic na Bi. Anne Aly ambao wamekuwa mawaziri wa kwanza Waislamu katika historia ya Australia, wanatambua umuhimu wa kuteuliwa kwao na wanasisitiza kwamba wanaangazia sasa kutumia majukumu haya kuleta mabadiliko katika maisha ya Waaustralia.
Habari ID: 3475325    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/02

TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi anasema amechagua baraza la mawaziri ili kuboresha uchumi na kupambana na ufisadi.
Habari ID: 3474212    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/21

Mkutano wa 10 wa Mawaziri wa Habari wa nchi za Kiislamu (ICIM) umefanyika Jumatano hapa mjini Tehran kwa kuhudhuriwa na Is’haq Jahangiri Makamu wa Kwanza wa Rais na Katibu Mkuu wa OIC.
Habari ID: 2615009    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/04