Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Msikiti Mkuu wa Glasgow, Scotland nchini Uingereza umetangaza ratiba ya shughuli za ibada katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu wa 1444 Hijria Qamaria.
Habari ID: 3476649 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/03
TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa Jamia mjini Glasgow, Scotland sasa ni kituo cha kuwadunga watu dozi ya tatu ya chanjo ya COVID-19.
Habari ID: 3474736 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/28
TEHRAN (IQNA) - Msikiti Mkuu wa Glasgow, Scotland, ambao unatambuliwa kuwa moja ya misikiti ya kijani zaidi duniani kwa maana kuwa unazingatia utunzaji mazingira katika shughuli zake, sasa utaanza kutumia nishati ya jua kikamilifu.
Habari ID: 3474535 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/09