iqna

IQNA

polisi
Maafisa 13 wa polisi waliowatesa Waislamu walisimamishwa kazi nchini Uganda.
Habari ID: 3477155    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/18

Waislamu Uingereza
TEHRAN (IQNA) – Waislamu kadhaa wa Uingereza wamewashutumu polisi wa nchi hiyo kwa kuwatendea vibaya kama "magaidi" wakati walipokamatwa kwa tuhuma za chuki dhidi ya Wayahudi ambazo baadaye zilitupiliwa mbali.
Habari ID: 3476220    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/09

TEHRAN (IQNA)- Duru ya mwisho ya Mashindano ya 26 ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu ya Jeshi la Polisi Iran yatafanyika katika mji wa Mashhad kaskazini mashariki mwa Iran.
Habari ID: 3474785    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/09

TEHRAN (IQNA)- Polisi nchini Austrai wamekosolewa vikali kwa kuwasumbua na kuwakera Waislamu ambao wamekuwa wakihujumu maeneo yao na kuwauliza maswali ya dharau.
Habari ID: 3473368    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/17

TEHRAN (IQNA) – Waziri wa Polisi Afrika Kusini Bheki Cele amewaomba radhi Waislamu nchini humo baada ya afisa wa polisi kutamka matamshi ya kuvunjia heshima Uislamu wakati akiwakamata waumini waliokuwa wamekiuka sheria za kuzuia mijimuiko kutokana na janga la corona.
Habari ID: 3472709    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/27

TEHRAN (IQNA)- Idara ya Polisi nchini Ireland imeamua kuwaruhusi maafisa wa polisi kike ambao ni Waislamu kuvaa vazi la staha la Hijabu.
Habari ID: 3471900    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/06

TEHRAN (IQNA)- Watu wa Misri wanamuenzi afisa wa polisi mwanamke Mwislamu ambaye alipoteza maisha yake akijijaribu kumzuia gaidi wa kundi la ISIS kuingia katika kanisa la Kikhufti (Coptic) mjini Alexandria.
Habari ID: 3470933    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/13

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema usalama ni moja ya nguzo kuu za ustawi na maendeleo ya Iran ya Kiislamu.
Habari ID: 3470599    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/04

Afisa Mwislamu wa kike katika polisi ya Marekani mjini Dearborn kwenye jimbo la Michigan amekuwa afisa wa kwanza eneo hilo kuhudumu akiwa amevaa sare ya Hijabu .
Habari ID: 3470537    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/27

Serikali ya Ghana imewajengea polisi nchini humo msikiti wao maalumu kwa ajili ya kufanya ibada na kujifunza Kiislamu.
Habari ID: 3470365    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/07

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, usalama katika jamii una nafasi muhimu katika ustawi wa kiuchumi.
Habari ID: 3470301    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/08

Jumapili ya jana msikiti mtakatifu wa al-Aqsa kwa mara nyingine tena ulivamiwa na Wazayuni waliojumuisha wanajeshi, polisi na Wazayuni wenye misimamo ya kufurutu ada ambapo damu za makumi ya Wapalestina zilimwagwa kiholela katika tukio hilo.
Habari ID: 3362433    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/14