iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe wa hongera na pole kufuatia kuaga dunia kwa namna ya kufa shahidi Hasan Irlu, balozi mwanajihadi na mchapakazi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Yemen.
Habari ID: 3474710    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/23

TEHRAN (IQNA)- Kufa shahidi Hasan Irlu, balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Sana'a kumedhihirisha ukubwa wa jinai zinazofanywa na utawala wa Aal Saud nchini humo.
Habari ID: 3474709    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/22