Wafanyakazi Waislamu katika Uwanja wa Kimatiafa wa Ndege wa Charles de Gaulle mjini Paris, Ufaransa wamekatazwa kuwa na nakala za Qur'ani wakiwa kazini huku wanaokataa kunyoa ndevu wakichukuliwa hatua.
Habari ID: 3470329 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/23