iqna

IQNA

kifaransa
Wanazuoni Mashuhuri wa Kiislamu Duniani /4
TEHRAN (IQNA) – Allamah Mohamed Ben Checkroun alikuwa mwanachuoni aliyeandika tafsiri na tarjuma ya kwanza ya uhakika ya Qur’ani Tukufu katika lugha ya Kifaransa katika jildi kumi.
Habari ID: 3476035    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/04

Tarjuma ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Tarjuma mpya ya Qur’ani Tukufu kwa lugya ya Kifaransa imechapishwa nchini Algeria.
Habari ID: 3475370    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/13