Jinai za Israel
IQNA – Utawala ghasibu wa Israel umegeuza mji unaokaliwa kwa mabavu wa al-Quds (Jerusalem) kuwa eneo la kijeshi kwa kisingizio cha kufanikisha mjumuiko wa kichochezi unajulikana kama "maandamano ya bendera". Mjumuiko huu umepengwa jumuiya za kikoloni siku ya Jumatano.
Habari ID: 3478929 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/04
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Afisa mmoja wa Umoja wa Mataifa amesisitiza uharamu wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni wa Israel katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ya Palestina na kubainisha kuwa hatua hiyo ni kikwazo kikubwa cha amani.
Habari ID: 3475685 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/26