iqna

IQNA

IQNA – Msikiti mpya umezinduliwa katika mji mkuu wa Ghana kwa ufadhili wa Taasisi ya Misaada ya Qatar .
Habari ID: 3480650    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/07

Mkutano wa Waislamu wa Ghana:
IQNA – Mwambata wa utamaduni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Ghana amesema kuwa: “kutatua matatizo ya ulimwengu wa Kiislamu kunahitaji hatua za maana katika suala la umoja wa makundi ya Kiislamu.”
Habari ID: 3479677    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/31

Harakati za Qur'ani
IQNA - Shule mpya za kuhifadhi Qur'ani zimefunguliwa nchini Ghana na Senegal na rais wa Chuo Kikuu cha Al Qasimia cha Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3479570    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/10

Turathi za Kiislamu
ACCRA (IQNA) - Msikiti wa Larabanga ni mahali pa ibada ya Waislamu nchini Ghana ambao ulijengwa karne ya 15 Miladia.
Habari ID: 3477361    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/30

Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Hafla imefanyika katika mji mkuu wa Ghana wa Accra kuwaenzi washindi wa shindano la kuhifadhi Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476963    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/06

Mashindano ya Qur'ani ya Iran
TEHRAN (IQNA) – Binti hafidh wa Qur’ani Tukufu kutoka Ghana amesisitiza haja ya wenye kuhifadhi Qur'ani Tukufu pia kujitahidi kujifunza tafsiri yake.
Habari ID: 3476613    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/23

Uislamu nchini Ghana
TEHRAN (IQNA) – Baraza la Umoja na Maendeleo ya Waislamu limezinduliwa nchini Ghana kwa lengo la kukuza mshikamano na ustawi wa jamii ya Waislamu katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
Habari ID: 3476250    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/14

Uislamu nchini Ghana
TEHRAN (IQNA) – Dua ya Kiislamu imepangwa na Shirikisho la Soka la Ghana (GFA) kwa ajili ya timu ya taifa ya nchi hiyo, inayoitwa Black Stars, kabla ya Kombe la Dunia la 2022 la Qatar.
Habari ID: 3476024    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/02

TEHRAN (IQNA)- Kufuatia tahadhari kutoka kwa serikali ya Ghana kuhusu uwezekano wa kutokea mashambulizi ya kigaidi, ulinzi umeimarishwa misikitini kwa amri ya kiongozi wa Kiislamu wa nchi hiyo, Mallam Othman Nuhu Sharubutu.
Habari ID: 3475300    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/26

Makamu wa Rais wa Iran
TEHRAN (IQNA)- Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na inaipa kipaumbele sera za kuimarisha uhusiano na nchi za bara Afrika.
Habari ID: 3475272    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/20

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu yamefanyika nchini Ghana ambapo yamewashirikisha wanafunzi 60 wa vyuo vikuu.
Habari ID: 3475188    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/30

TEHRAN (IQNA)- Mchezaji kandanda wa kimataifa wa Ghana Abdul Majeed Waris anajenga msikiti wa orofa mbili kwa ajili ya jamii ya Waislamu katika mji aliozaliwa.
Habari ID: 3474961    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/22

TEHRAN (IQNA) – Waislamu nchini Ghana wameshiriki kikao cha kusoma Qur’ani kwa ajili ya kuomba baraka za Allah SWT.
Habari ID: 3474772    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/06

TEHRAN (IQNA)- Raia mmoja wa Jordan amewatunuku watu wa Ghana nakala 1,400 za Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3474071    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/05

TEHRAN (IQNA)-Vijana ambao waliwakilisha Ghana katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yaliyoandaliwa Morocco na Taasisi ya Mfalme Mohammad VI ya Maulamaa Waafrika wametunukiwa zawadi.
Habari ID: 3473997    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/11

TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Kiislamu cha Imam Baqir AS nchini Ghana kimetoa misaada ya Hospitali ya Watu Wenye Matatizo ya Kiakili ya Accra.
Habari ID: 3473720    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/09

Mkuu wa zamani wa Chuo Kikuu cha Kiislamu Ghana
TEHRAN (IQNA) – Jerry Rawlings, Rais wa zamani wa Ghana ambaye amefariki hivi karibuni akiwa na umri wa miaka 73, alikuwa mwanasiasa Mkristo ambaye aliathiriwa na kuiga baadhi ya fikra za Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3473388    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/24

TEHRAN (IQNA) – Mufti Mkuu wa Ghana amesema inajuzu kwa Waislamu nchini humo kuswali Swala ya Idul Adha nyumbani.
Habari ID: 3472998    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/25

TEHRAN (IQNA) – Tarjuma ya Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Asante Twi imezinduliwa eneo la Kumasi, kusini mwa Ghana ili kuwawezesha wanaozungumza lugha hiyo kusoma kitabu hicho kitukufu.
Habari ID: 3471937    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/01

TEHRAN (IQNA)-Kasisi wa kanisa moja nchini Ghana amelaumia kusababisha Benki ya Capital nchini humo kuanguka na kuwasabishia wateja hasara kubwa.
Habari ID: 3471648    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/26