iqna

IQNA

kujiua
Ukweli Katika Qur'ani / 5
TEHRAN (IQNA) – Ikiwa dini inazingatiwa kama mpango na mtindo wa maisha, ni wazi kwamba muumini anaishi maisha yaliyojaa malengo mema, matumaini na furaha. Mtu kama huyo hatawahi kupata sababu ya kufikiria kujiua .
Habari ID: 3476128    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/22

Ukweli Katika Qur’ani /4
TEHRAN (IQNA) – Kulingana na takwimu za Shiŕika la Afya Duniani (WHO), takribani watu 800,000 hufa kwa kujiua kila mwaka. Hali kadhalika watu takribani milioni 16 hufikiria kujiua .
Habari ID: 3476119    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/20

Ukweli Katika Qur’ani Tukufu /3
TEHRAN (IQNA) – Tafiti za kisayansi zinathibitisha kwamba wasiomuamini Mwenyezi Mungu ndio watu walio hatarini zaidi na ndio wanaokata tamaa maishani na hivyo kiwango cha kujiua miongoni mwao ni kikubwa sana.
Habari ID: 3476088    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/14