IQNA – Toleo la 29 la mashindano Makuu ya Qur’ani Tukufu ya Bahrain lilianza rasmi siku ya Jumamosi katika Kituo cha Kiislamu cha Al Fateh.
Habari ID: 3480154 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/03
Sura za Qur'ani Tukufu /57
TEHRAN (IQNA) - Kuna hatua tofauti katika maisha ya mtu ambayo kila moja ina sifa zake kutokana na umri na masharti ya mtu. Kwa mujibu wa Sura Al-Hadid ya Qur'ani Tukufu, maisha ya mwanadamu yana hatua tano.
Habari ID: 3476411 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/16