Sura za Qur’ani Tukufu /61
TEHRAN (IQNA) – Katika kila zama katika historia ya wanadamu, waumini wamejitahidi kulinda dini na kukabiliana na ukafiri. Hili ndilo lililofanywa na wanafunzi waaminifu wa Nabii Isa au Yesu –Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe JuuYake- wanaojulikana kama Hawariyun.
Habari ID: 3476549 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/12