Ifahamu Qur'ani Tukufu/6
TEHRAN (IQNA) – Taa zote zilizopo hapa duniani zitazimika siku moja. Hata jua halitaangaza tena siku ya kiama itakapokuja.
Habari ID: 3477138 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/12
Mawaidha
TEHRAN (IQNA) – Muumini wa kweli si yule anayefikiria tu kuhusu mambo ya kiroho kwa sababu muumini wa kweli hawezi kuwa mwenye kutojali ukiukwaji wa haki za wengine.
Habari ID: 3476816 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/05
Maoneysho ya 23 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tehran yamefunguliwa rasmi Jumatano jioni katika hafla iliyohudhuriwa na Waziri wa Utamaduni wa Muongozo wa Kiislamu Iran, maafisa waandamizi wa baraza la mji wa Tehran na wana wanaharakati katika uga wa Qur'ani.
Habari ID: 3318499 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/25
Siku ya 15 ya mwezi mtukufu wa Shaaban ni siku ya kuzaliwa Mtukufu Imam wa Zama Imam Mahadi (-Mwenyezi Mungu Aharakishe Kudhihiri Kwake-af).
Habari ID: 3310767 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/03