IQNA – Taasisi ya Mfalme Abdulaziz nchini Saudi Arabia imechapisha kitabu kipya kwa lugha ya Kiarabu kinachofuatilia historia ya maendeleo ya zana zilizotumika kuandika Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3480955 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/16
IQNA – Mfalme Salman wa Saudi Arabia ameidhinisha usambazaji wa nakala 1.2 milioni za Qur'ani Tukufu, pamoja na tafsiri au tarjuma katika lugha 79, kwa vituo vya Kiislamu na kitamaduni, pamoja na ofisi za kidini katika ubalozi wa Saudi kote ulimwenguni.
Habari ID: 3480278 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/28
Nakala 480,000 za Qur’ani Tukufu zimechapishwa nchini Iran katika miezi mitatu ya kwanza ya Kalenda ya Kiirani kuanzia Machi 21 hadi Juni 20.
Habari ID: 3470443 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/10